gmx_rom_text_reg/09/25.txt

1 line
232 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 25 Kama asemavyo pia katika Hosea: "Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa. \v 26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai."'