1 line
381 B
Plaintext
1 line
381 B
Plaintext
\v 9 Lakini ninyi sasa hamutawaliwi na hali yenu zaifu ya kimwili, lakini munatawaliwa na Roho Mtakatifu, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Na mtu yeyote asiyekuwa na Roho wa Kristo ndani yake, yeye si mtu wa Kristo. \v 10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, ijapokuwa mwili wenu unakufa kwa sababu ya zambi, Roho ndiye uzima wenu kwa maana munahesabiwa haki mbele ya Mungu. |