swc_rom_text_reg/01/26.txt

1 line
348 B
Plaintext

\v 26 Kwa hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za haya. Wanawake wao wanabadilisha matumizi ya kawaida na matumizi isiyokuwa ya kawaida. \v 27 Na wanaume nao vilevile wanabadilisha matumizi ya kawaida ya mume na muke, wakiwakiana tamaa wanaume kwa wanaume. Kwa ajili ya hiyo, wanajipatia wenyewe azabu wanayoistahili kufuatana na huo upotevu wao.