Mon Oct 12 2020 14:49:45 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-12 14:49:46 +01:00
parent efdada17ae
commit 27986b341d
4 changed files with 6 additions and 2 deletions

View File

@ -1 +1 @@
3 Mungu alitimiza mambo yale Sheria ya Musa iliyoshindwa kuyatimiza, kwa sababu ya ukosefu wa nguvu unaotokana na hali zaifu ya kimwili. Mungu alitoa hukumu juu ya zambi inayotawala mwili kwa kutuma mwana wake wa peke katika hali ya kimtu, mwenye hali zaifu ya zambi kwa ajili ya kuondoa zambi. 4 Alifanya vile kusudi maagizo ya haki ya Sheria yapate kutimizwa ndani yetu sisi tunaoishi kufuatana na uongozi wa Roho wa Mungu, lakini si kufuatana na hali yetu ya kimwili. 5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kufuatana na hali ya kimwili, na uongozi wa Roho wa Mungu wanashugulika na mambo yanayotakiwa na Roho yule.
\v 3 Mungu alitimiza mambo yale Sheria ya Musa iliyoshindwa kuyatimiza, kwa sababu ya ukosefu wa nguvu unaotokana na hali zaifu ya kimwili. Mungu alitoa hukumu juu ya zambi inayotawala mwili kwa kutuma mwana wake wa peke katika hali ya kimtu, mwenye hali zaifu ya zambi kwa ajili ya kuondoa zambi. \v 4 Alifanya vile kusudi maagizo ya haki ya Sheria yapate kutimizwa ndani yetu sisi tunaoishi kufuatana na uongozi wa Roho wa Mungu, lakini si kufuatana na hali yetu ya kimwili. \v 5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kufuatana na hali ya kimwili, na uongozi wa Roho wa Mungu wanashugulika na mambo yanayotakiwa na Roho yule.

1
08/06.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 6 Kushugulika na mambo yanayotakiwa na hali ya kimwili kunaleta kifo lakini kushugulika na mambo yanayotakiwa na Roho wa Mungu kunaleta uzima na amani. \v 7 Kwa maana wale wanaoshugulika na hali ya kimwili ni waadui za Mungu; hawatii sheria ya Mungu wala hawawezi kuitii. \v 8 Watu wanaotawaliwa na hali ya kimwili hawawezi kumupendeza Mungu.

1
08/09.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 9 Lakini ninyi sasa hamutawaliwi na hali yenu zaifu ya kimwili, lakini munatawaliwa na Roho Mtakatifu, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Na mtu yeyote asiyekuwa na Roho wa Kristo ndani yake, yeye si mtu wa Kristo. \v 10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, ijapokuwa mwili wenu unakufa kwa sababu ya zambi, Roho ndiye uzima wenu kwa maana munahesabiwa haki mbele ya Mungu.

View File

@ -130,6 +130,8 @@
"07-22",
"07-24",
"08-title",
"08-01"
"08-01",
"08-03",
"08-06"
]
}