From 1b5e99f9ae8e3e85c4e7a80702192f23e9dec065 Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: tsDesktop Date: Mon, 12 Oct 2020 14:59:46 +0100 Subject: [PATCH] Mon Oct 12 2020 14:59:45 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest) --- 08/33.txt | 2 +- 08/35.txt | 1 + 08/37.txt | 1 + 09/title.txt | 1 + manifest.json | 6 +++++- 5 files changed, 9 insertions(+), 2 deletions(-) create mode 100644 08/35.txt create mode 100644 08/37.txt create mode 100644 09/title.txt diff --git a/08/33.txt b/08/33.txt index 5e4f252..d9660b5 100644 --- a/08/33.txt +++ b/08/33.txt @@ -1 +1 @@ -\v33 Ni nani anayeweza kuwashitaki watu ambao Mungu alijichagulia? Hakuna hata mmoja! Mungu peke yake amewahesabia haki mbele yake. \v34 Ni nani anayeweza basi kuwahukumu? Hakuna hata mmoja! Maana Yesu Kristo ndiye aliyekufa, na zaidi ya hiyo, alifufuka, na sasa anakaa na mamlaka kwa kuume kwa Mungu, na yeye ndiye anayetuombea. \ No newline at end of file +\v 33 Ni nani anayeweza kuwashitaki watu ambao Mungu alijichagulia? Hakuna hata mmoja! Mungu peke yake amewahesabia haki mbele yake. \v 34 Ni nani anayeweza basi kuwahukumu? Hakuna hata mmoja! Maana Yesu Kristo ndiye aliyekufa, na zaidi ya hiyo, alifufuka, na sasa anakaa na mamlaka kwa kuume kwa Mungu, na yeye ndiye anayetuombea. \ No newline at end of file diff --git a/08/35.txt b/08/35.txt new file mode 100644 index 0000000..5b643d7 --- /dev/null +++ b/08/35.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 35 Ni nani anayeweza kututenga na upendo wa Kristo? Ni taabu, au huzuni, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kifo? \v 36 Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: «Kwa sababu yako tunauawa kila siku. Tunahesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.» \ No newline at end of file diff --git a/08/37.txt b/08/37.txt new file mode 100644 index 0000000..8635d29 --- /dev/null +++ b/08/37.txt @@ -0,0 +1 @@ +\v 37 Lakini katika mambo haya yote tunapata ushindi kabisa kwa njia ya yule aliyetupenda. \v 38 Kwa maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kinachoweza kututenga na upendo wa Mungu: wala kifo, wala uzima, wala wamalaika, wala watawala, wala mambo ya sasa, wala mambo yatakayokuja, wala wenye uwezo, \v 39 wala nguvu za juu, wala nguvu za chini, wala kiumbe kingine chochote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu aliouonyesha kwetu kwa njia ya Kristo Yesu Bwana wetu. \ No newline at end of file diff --git a/09/title.txt b/09/title.txt new file mode 100644 index 0000000..91f6291 --- /dev/null +++ b/09/title.txt @@ -0,0 +1 @@ +Sura 9 \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 01ca87a..97feb31 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -143,6 +143,10 @@ "08-23", "08-26", "08-28", - "08-31" + "08-31", + "08-33", + "08-35", + "08-37", + "09-title" ] } \ No newline at end of file