Mon Oct 12 2020 19:38:11 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
6e8ba44a71
commit
56f6fddf3b
|
@ -1 +1 @@
|
|||
25 Vilevile, nyuma ya kula akatwaa kikombe na kusema: “Kikombe hiki ni agano jipya la Mungu, linalohakikishwa kwa njia ya damu yangu. Mufanye hivi kwa kunikumbuka kila mara munapokikunywa.”» 26 Kwa sababu kila mara munapokula mukate huu na kunywa kikombe hiki, munatangaza kufa kwa Bwana mpaka atakapokuja. 27 Basi kila mtu anayekula mukate wa Bwana au kunywa kikombe chake bila kustahili, anafanya zambi akikosea mwili na damu ya Bwana. 28 Basi kila mtu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki. 29 Kwa maana mtu akikula mukate na kunywa kikombe pasipo kutambua maana ya mwili wa Bwana, anajiletea azabu yeye mwenyewe kwa kula na kunywa. 30 Na kwa sababu hii wengi kati yenu ni wagonjwa na wazaifu, na wengi wamekufa. 31 Lakini tungejichunguza sisi wenyewe kwanza, hatungehukumiwa na Mungu. 32 Lakini tunahukumiwa na kuazibiwa na Bwana kusudi tusiazibiwe pamoja na watu wa dunia hii. 33 Kwa hiyo wandugu zangu, wakati munapokusanyika kwa kula karamu ya Bwana, sherti mungojeane. 34 Kama mtu akiwa na njaa, akule katika nyumba yake, kusudi musikusanyike kwa kujiletea azabu. Basi maneno mengine yanayobaki nitayatengeneza wakati nitakapofika kwenu.
|
||||
\v 25 Vilevile, nyuma ya kula akatwaa kikombe na kusema: “Kikombe hiki ni agano jipya la Mungu, linalohakikishwa kwa njia ya damu yangu. Mufanye hivi kwa kunikumbuka kila mara munapokikunywa.”» \v 26 Kwa sababu kila mara munapokula mukate huu na kunywa kikombe hiki, munatangaza kufa kwa Bwana mpaka atakapokuja.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 27 Basi kila mtu anayekula mukate wa Bwana au kunywa kikombe chake bila kustahili, anafanya zambi akikosea mwili na damu ya Bwana. \v 28 Basi kila mtu ajichunguze mwenyewe na kisha akule mukate huu na kunywa kikombe hiki. \v 29 Kwa maana mtu akikula mukate na kunywa kikombe pasipo kutambua maana ya mwili wa Bwana, anajiletea azabu yeye mwenyewe kwa kula na kunywa. \v 30 Na kwa sababu hii wengi kati yenu ni wagonjwa na wazaifu, na wengi wamekufa.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 31 Lakini tungejichunguza sisi wenyewe kwanza, hatungehukumiwa na Mungu. \v 32 Lakini tunahukumiwa na kuazibiwa na Bwana kusudi tusiazibiwe pamoja na watu wa dunia hii.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 33 Kwa hiyo wandugu zangu, wakati munapokusanyika kwa kula karamu ya Bwana, sherti mungojeane. \v 34 Kama mtu akiwa na njaa, akule katika nyumba yake, kusudi musikusanyike kwa kujiletea azabu. Basi maneno mengine yanayobaki nitayatengeneza wakati nitakapofika kwenu.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Sura 12
|
|
@ -155,6 +155,11 @@
|
|||
"11-13",
|
||||
"11-17",
|
||||
"11-20",
|
||||
"11-23"
|
||||
"11-23",
|
||||
"11-25",
|
||||
"11-27",
|
||||
"11-31",
|
||||
"11-33",
|
||||
"12-title"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue