swc-x-swakatanga_jud_text_reg/01/24.txt

1 line
303 B
Plaintext

\v 24 Bshi,kua ule anaweza ku michunga dju ya kuanguka kote na ku mionekanisha mbele ya utukufu yake ishipo onekana ivi na fura, \v 25 kua Mungu pekeyake,Mokozi yetu,kupitiya Yesu-Kristo Bwana wetu,imwelwkwye utkufu,bukubwa,nguvu na uwezo,tangiya mbele ya nyakati yote,na sasa,na milele na milele! Amen!