swc-x-swakatanga_jud_text_reg/01/09.txt

1 line
436 B
Plaintext

\v 10 \v 11 \v 9 Lakini,Mikaeli,wakati alikuya na bishana na diabolo na ekeo nakokotana naye mwili ya Musa,ashi kupime ku muchambula ata mala moya,kualakini ali sema:Bwana akufokeye. Bo kualakini,beko nasema na kibengo dju ya bintu abadjue,na banedilanda mu bile banadjua kuwa kama ya biakuanza. Wole kuabo!kuamana balifuata ndiya ya Kaina,ba na jingisha dju ya malipo mu kupotesha na Balama,banedipotesha kupitiya butombozi bua Corea.