swc-x-swakatanga_jud_text_reg/01/03.txt

1 line
420 B
Plaintext

\v 3 Bapendua,vile milipenda saana ku miandikiya dju ya wokovu ya she bote,minapasha ku ifuanya dju ya ku misukutisha dju ya kukombana dju ya imani ile ililetua kua batakatifu bote mala moya loote. \v 4 Kuamana katikati yenu ku ne dingisha bantu bengine,bale ukumu iko enye ku bandikiya tangiya zamani,benye kuaribika,ba kubadulisha neema ya mungu wetu kuya ubakuzi,na ku mukatala wetu mualimu moya na Bwana Yesu-Kristo.