swc-x-swakatanga_jud_text_reg/01/14.txt

1 line
557 B
Plaintext

\v 14 Ni tena dju yaboEnocn,wa saba tangiya Adama,aritabiri kua misemo iyi:mone,Bwana alikuya na bake batakatifu bamingi, \v 15 dju ya kufanya ukumu dju ya bote,na dju ya kuripisha babaya bote katikati yabo dju ya matendo yote ya machafuko baritenda na misemo yote ya kibengo ile misemo yabo yote ya kibengo ili taya dju yake batenda zambi benyekuya na zambi. \v 16 Ni bantu banasema chinyichinyi,beko ne ditompoleya dju ya bile bita bafikiya,beko natembeya kufuatana na tama yabo,beko na misemo ya kiburi ku kinya yabo,benye kusifu bantu dju ya faida yabo.