\v 17 Kualakini mweye,bapendua,mukumbukeni bintu bilisemewaka tangiya zamanikua ba mitume ya Bwana wetu Yesu-Kristo. \v 18 Barianzaka kumiambayaka aseme wakati ya mwisho ku weza kuya bakazarau,bakutembeya kufuatana na tama ya bubaya bwabo; \v 19 ni bale ba kuleta ma kukatanakatana,bantu ba kimwili,bashipo na roho.