\v 5 Nataka ni mikumbushe,mueye benye kudjua muzuribintu biote,yaka Bwana,kisha kokowa bantu na kubatosha mu inchi ya Misri,akauwa ba moyo mugumu; \v 6 arinchungiya dju ya ukumuya shiku munene,benye kufungwa milele na milele na giza,kualakini benye kuacha nyumba yabo ya kueli;